Watu 60 wamefariki dunia ktk jiji la Abidjan nchini Ivory Coast katika sherehe za mwaka mpya. Mkasa huo umetokea katika maenesho yaliyokuwa yanafanyika kwenye uwanja wa Felix Houphouet Boigny.
Sababu ya ajali hiyo bado haijajulikana. Ajali ilitokea wakati watu wakirudi nyumbani baada ya maenesho. Idadi ya waliokufa inategemea kuongeza. Waliokufa wengi zaidi ni watoto.
Watu wengi wamejitokeza kupata taarifa za ndugu zao waliopotoea. Mwanamzuki Chris Brown jana usiku alitumbuiza katika uwanja huo
No comments:
Post a Comment