HEALTHY VILLAGERS CAMPAIGN

TANGAZA HAPA CALL 0712 005 865

Tuesday, May 21, 2013

Huduma za Wagonjwa wa UKIMWI Nyumbani-1

Kwepo kwa huduma bora kwa wagonjwa wa UKIMWI nyumbani, ni hatua mojawapo ya kumhakikishia mgonjwa kwamba ataendelea kuhudumiwa hususan katika mazingira aliyoyazoea.

Huduma  Zinazoweza Kutolewa kwa Wagonjwa Nyumbani 
●Kutambua dalili za magonjwa nyemelezi mapema,  ●kutoa ushauri, tiba au rufaa inapohitajika pamoja na kufuatilia tiba za magonjwa hayo 
●Kumsadia mgonjwa huduma za msingi na kiafya ambazo hawezi kuzimudu  kutokana na hali yake. Kwa mfano, kumgeuza kitandani, kumlisha, usafi wa mwili, mavazi, mazingira. n.k.

Sunday, May 19, 2013

Clinic Yetu: Je kuna faida yoyote ya kutumia asali kwa mgonjwa wa kisukari badala ya sukari?

Salaam. Mimi ni mgonjwa wa kisukari. Nimekuwa nikitumia asali badala ya sukari baada ya kushauriwa na rafiki yangu. Hivyo ningependa kujua kama kuna faida zozote nitakazopata kama nitaendelea kutumia asali?

Friday, May 17, 2013

Dr.Masau a Tanzanian born heart surgeon dies.

This is a sad news to all tanzanians. Dr.Masau has died at Agha khan hospital in Dar es salaam.
The founder of Tanzania Heart Institute was Dr. Ferdinand B. Masau, who had dedicated his life to the establishment of a cardiovascular center in his native country of Tanzania. Dr. Masau was trained in Houston, Texas as a cardiovascular surgeon under the tutorage of world renowned cardiovascular surgeon, Dr. Denton A. Cooley at the Texas Heart Institute and Texas Children Hospital. His sole purpose was to bring this training back to his country and create the first heart center in East Africa. He provided leadership and surgical services in Tanzania with the support and assistance from visiting specialists from around the world.


THI has employed professionals from both inside and outside the country. Cardiovascular surgeons, Cardiologists, ICU nurses, Pharmacists, Researchers, Anesthesiologists and others are some of staff members that qualify for their professionals accordingly. THI has part-time doctors from neighbouring hospitals in various fields such as Urology, Neurology, etc.

The death of Dr. Masau adds another gap in the medical field.  Few months has just passed since the  deaths of two paediatric surgeons  in tanzania.

Tuesday, May 14, 2013

Homa ya Uti wa mgongo(Meningitis)

Homa ya uti wa mgongo hutokea iwapo utando unaofunika ubongo na uti wa mgongo utapatwa na maambukizi.
 
Ugonjwa wa Uti wa mgongo husababishwa na nini?
Ugonjwa huu husababishwa na vimelea mbalimbali vya makundi ya bakteria, virus na hata fungus. Tukivigawanya visababishi hivi katika makundi haya, tutaona kuwa bakteria wanaosababisha ugonjwa wa uti wa mgongo ni kama vile; bakteria wajulikanao kama Beta-streptococci, Hemophilus influenza, Escherichia coli, Listeria monocytogenes, Neisseria meningitides, Streptococci pneumoniae pamoja na Mycobacteria tuberculosis, ambao pia ni maarufu kwa kusababisha ugonjwa wa kifua kikuu.

Angelina Jolie has double mastectomy

Angelina Jolie says she hopes her story will be helpful to other women. Hollywood actress Angelina Jolie has undergone a double mastectomy to reduce her chances of getting breast cancer.

The 37-year-old mother of six has explained her reasons for having the surgery in the New York Times.She said her doctors estimated she had an 87% risk of breast cancer and a 50% risk of ovarian cancer. "I decided to be proactive and to minimize the risk as much I could," she wrote.

Sunday, May 12, 2013

Hofu yazidi kutanda juu ya maambukizi ya virusi Corona


Shirika la Afya Duniani, WHO, linasema inaelekea sana kuwa aina mpya ya virusi vinavouwa, vya coronavirus, vinaweza kuambukizwa baina ya watu walio karibu sana.

Virusi hivyo ni sawa na vile vya homa ya SARS (Severe Acute Respiratory Syndrome) na vinamfanya mgonjwa kuwa na shida sana ya kuvuta pumzi.

Nchini Ufaransa mwanamume mwengine hivi sasa ni mahtuti baada ya kuambukizwa na mgonjwa wa mwanzo nchini humo, ambaye walilazwa chumba kimoja hospitali.
Hadi sasa watu 34 wanajulikana kupata ugonjwa huo duniani tangu mwaka wa 2012, 18 kati yao walikufa Saudi Arabia.
WHO inasema ni muhimu kujulisha watu kuhusu virusi hivyo kwa sababu kuna wasi-wasi mkubwa kuwa vinaweza kusambaa.

SOURCE:BBC

Seven year old surgeon


Akrit Jaswal (born April 23, 1993) is an Indian adolescent who has been hailed as a child prodigy who has gained fame in his native India as a physician, despite never having attended medical school. He gained fame for performing surgery at the age of seven.[1] He is a Hindu Rajput of Jaswal clan from Punjab.

Monday, May 6, 2013

Tanzania yaongoza kwa ugonjwa wa saratani ya shingo ya kizazi

Pamoja na ugonjwa wa saratani ya shingo ya kizazi kuwa miongoni mwa magonjwa yanayoongoza kwa kusababisha vifo kwa wanawake nchini, ni asilimia 66 tu ya wanawake wa miaka kati ya 15 na 49 wana taarifa sahihi kuhusu ugonjwa huo.

Kwa mujibu wa matokeo ya utafiti uliofanywa na Taasisi ya Saratani ya Ocean Road (ORCI) mwaka 2011, Tanzania inaongoza katika nchi za Afrika Mashariki kwa kuwa na wagonjwa wengi wa kansa hiyo.
Matokeo hayo Tanzania ina wastani wa wagonjwa 50 kwa kila wanawake 100,000 wa saratani ya shingo ya uzazi.

Sunday, May 5, 2013

Mlipuko wa Bomu wauwa watu kanisani Arusha

Takriban watu watatu wamekufa kwenye mripuko wa bomu Jumapili asubuhi katika kanisa Katoliki la Olasiti nje kidogo ya mji wa Arusha, Tanzania.

Wengine kadhaa walijeruhiwa huku balozi wa papa na watawa waliokuwa katika shughuli hiyo maalumu ya kuzindua parokia mpya ya mtakatifu Yosefu walinusurika.